16 Nami nitaimba juu ya nguvu zako,
Nitaimba kwa furaha juu ya fadhili zako asubuhi.
Maana umekuwa ngome yangu,
na kimbilio wakati wa mateso yangu.
17 Ee nguvu zangu, nitakuimbia sifa,
Maana Ewe Mungu ndiwe ngome yangu,
Mungu wa fadhili zangu.
16 Nami nitaimba juu ya nguvu zako,
Nitaimba kwa furaha juu ya fadhili zako asubuhi.
Maana umekuwa ngome yangu,
na kimbilio wakati wa mateso yangu.
17 Ee nguvu zangu, nitakuimbia sifa,
Maana Ewe Mungu ndiwe ngome yangu,
Mungu wa fadhili zangu.