4 Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake,
Mwimbieni wimbo yeye apitaye katika mawingu,
Jina lake ni YAHU;68:4 Ufupisho wa YAHWEH.
Shangilieni mbele zake.
5 Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane,
Ni Mungu aliye katika kao lake takatifu.
4 Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake,
Mwimbieni wimbo yeye apitaye katika mawingu,
Jina lake ni YAHU;68:4 Ufupisho wa YAHWEH.
Shangilieni mbele zake.
5 Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane,
Ni Mungu aliye katika kao lake takatifu.