Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 68

5 Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane,

Ni Mungu aliye katika kao lake takatifu.

6 1 Sam 2:5Mungu huwapa wapweke makao yao;

Huwapa wafungwa uhuru na kuwafanikisha;

Bali wakaidi huishi katika nchi kavu.

Veja também