Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 78

Wema wa Mungu na Israeli kukosa shukrani

1 Kut 19:5;Kum 32:29Enyi watu wangu, sikilizeni sheria yangu,

Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa changu.

2 Zab 49:4;Mt 13:35Nitafumbua kinywa changu kwa mithali,

Niyatamke mafumbo ya kale.

3 Zab 44:1Mambo tuliyoyasikia na kuyafahamu,

Ambayo baba zetu walituambia.

4 Kum 4:9;Kut 12:26;Yos 4:6,7Hayo hatutawaficha wana wao,

Huku tukiwaambia kizazi kingine,

Sifa za BWANA, na nguvu zake,

Na mambo yake ya ajabu aliyoyafanya.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também