23 Mwa 7:11;Kum 28:12Lakini aliyaamuru mawingu juu;
Akaifungua milango ya mbinguni;
24 Kut 16:14;Neh 9:15,20;Yn 6:31;1 Kor 10:3Akawanyeshea mana ili wale;
Akawapa nafaka ya mbinguni.
25 Mwanadamu akala chakula walacho malaika;
Akawapelekea chakula cha kuwashibisha.