Mungu adumuye milele na binadamu apitaye
Sala ya Musa, Mtu wa Mungu.
1 Wewe, Bwana, umekuwa makao yetu,
Kizazi baada ya kizazi.
2 Kabla haijazaliwa milima, wala hujaiumba dunia,
Na tangu milele hata milele ndiwe Mungu.
1 Wewe, Bwana, umekuwa makao yetu,
Kizazi baada ya kizazi.
2 Kabla haijazaliwa milima, wala hujaiumba dunia,
Na tangu milele hata milele ndiwe Mungu.