Shukrani kwa ajili ya uthibitisho
1 Ni neno jema kumshukuru BWANA,
Na kuliimbia jina lako sifa, Ee Uliye Juu.
2 Kuzitangaza rehema zako asubuhi,
Na uaminifu wako wakati wa usiku.
3 Kwa chombo chenye nyuzi kumi,
Na kwa kinanda,
Na kwa mlio wa kinubi.
1 Ni neno jema kumshukuru BWANA,
Na kuliimbia jina lako sifa, Ee Uliye Juu.
2 Kuzitangaza rehema zako asubuhi,
Na uaminifu wako wakati wa usiku.
3 Kwa chombo chenye nyuzi kumi,
Na kwa kinanda,
Na kwa mlio wa kinubi.