14 Watazaa matunda hadi wakati wa uzee,
Watajaa utomvu, watakuwa na ubichi.
15 Kum 32:4;Rum 9:14Watangaze ya kuwa BWANA ni mwenye adili,
Mwamba wangu, ndani yake hamna udhalimu.
14 Watazaa matunda hadi wakati wa uzee,
Watajaa utomvu, watakuwa na ubichi.
15 Kum 32:4;Rum 9:14Watangaze ya kuwa BWANA ni mwenye adili,
Mwamba wangu, ndani yake hamna udhalimu.