Shukrani kwa wema wa Mungu
Ya Daudi.
1 Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.
Naam, vyote vilivyo ndani yangu
Vilihimidi jina lake takatifu.
2 Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA,
Wala usizisahau fadhili zake zote.
1 Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.
Naam, vyote vilivyo ndani yangu
Vilihimidi jina lake takatifu.
2 Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA,
Wala usizisahau fadhili zake zote.