39 Kut 13:21-22;Neh 9:12Alitandaza wingu liwe kifuniko,
Na moto ili uwaangazie usiku.
40 Kut 16:2-15Walimwomba naye akaleta kware,
Na kuwashibisha chakula cha mbinguni.
41 Kut 17:1-7;Hes 20:2-13;Neh 9:15;Isa 48:21;1 Kor 10:4Akaufunua mwamba, kukabubujika maji,
Yakapita jangwani kama mto.