13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,
BWANA ni mwaminifu katika maneno yake yote,
Na mwenye fadhili katika matendo yake yote145:13 Mistari hii miwili haiko katika makala ya Kiebrania, lakini iko katika makala ya Kigiriki iitwayo Septuaginta.
Na mamlaka yako ni ya vizazi vyote.