Sifa kwa kupata msaada wa Mungu
1 Haleluya.
Ee nafsi yangu, umsifu BWANA.
2 Nitamsifu BWANA muda ninaoishi,
Nitamwimbia Mungu wangu ningali ni hai.
1 Haleluya.
Ee nafsi yangu, umsifu BWANA.
2 Nitamsifu BWANA muda ninaoishi,
Nitamwimbia Mungu wangu ningali ni hai.