Sifa kwa kupata msaada wa Mungu
1 Haleluya.146:1 Haleluya: maana yake ni, Msifuni BWANA.
Ee nafsi yangu, umsifu BWANA.
2 Nitamsifu BWANA muda ninaoishi,
Nitamwimbia Mungu wangu ningali ni hai.
1 Haleluya.146:1 Haleluya: maana yake ni, Msifuni BWANA.
Ee nafsi yangu, umsifu BWANA.
2 Nitamsifu BWANA muda ninaoishi,
Nitamwimbia Mungu wangu ningali ni hai.
+581 estão orando agora.
Junte-se à corrente de oração.