Sifa kwa Mungu kuutunza Yerusalemu
1 Haleluya.
Msifuni Bwana;
Maana ni vema kumwimbia Mungu wetu sifa,
Maana ni mwenye fadhili, na anastahili kuimbiwa sifa.
1 Haleluya.
Msifuni Bwana;
Maana ni vema kumwimbia Mungu wetu sifa,
Maana ni mwenye fadhili, na anastahili kuimbiwa sifa.