Pular para o conteúdo
Publicidade

Zaburi 34

Sifa kwa kukombolewa katika shida

1 1 Sam 21:13-15Nitamhimidi BWANA kila wakati,

Sifa zake zi kinywani mwangu daima.

2 Yer 9:24;1 Kor 1:31Katika BWANA nafsi yangu itajisifu,

Wanyenyekevu wasikie na kufurahi.

3 Mtukuzeni BWANA pamoja nami,

Na tuliadhimishe jina lake pamoja.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também