25 Nilikuwa kijana na sasa ni mzee,
Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa
Wala mzawa wake akiomba chakula.
26 Mchana kutwa hufadhili na kukopesha,
Na mzao wake hubarikiwa.
25 Nilikuwa kijana na sasa ni mzee,
Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa
Wala mzawa wake akiomba chakula.
26 Mchana kutwa hufadhili na kukopesha,
Na mzao wake hubarikiwa.