Sala ya utakaso na msamaha
1 Kol 2:14Ee Mungu, unirehemu,
kulingana na fadhili zako.
Kiasi cha wingi wa rehema zako,
Uyafute makosa yangu.
2 Eze 36:25;Zek 13:1;1 Kor 6:11;Ebr 9:14;1 Yoh 1:7;Ufu 1:5Unioshe kabisa uovu wangu,
Unitakase dhambi zangu.
1 Kol 2:14Ee Mungu, unirehemu,
kulingana na fadhili zako.
Kiasi cha wingi wa rehema zako,
Uyafute makosa yangu.
2 Eze 36:25;Zek 13:1;1 Kor 6:11;Ebr 9:14;1 Yoh 1:7;Ufu 1:5Unioshe kabisa uovu wangu,
Unitakase dhambi zangu.