Pular para o conteúdo
Publicidade

Salmos 51

2 Eze 36:25;Zek 13:1;1 Kor 6:11;Ebr 9:14;1 Yoh 1:7;Ufu 1:5Unioshe kabisa uovu wangu,

Unitakase dhambi zangu.

3 Zab 32:5Maana nimejua mimi makosa yangu

Na dhambi yangu iko mbele yangu daima.

4 Rum 3:4;Lk 15:21;Mwa 39:9Nimekutenda dhambi Wewe peke yako,

Na kufanya maovu mbele za macho yako.

Wewe ujulikane kuwa una haki unenapo,

Na kuwa safi utoapo hukumu.

Veja também