3 Maana fadhili zako ni njema kuliko uhai;
Midomo yangu itakusifu.
4 Ndivyo nitakavyokubariki maadamu ni hai;
Kwa jina lako nitaiinua mikono yangu.
3 Maana fadhili zako ni njema kuliko uhai;
Midomo yangu itakusifu.
4 Ndivyo nitakavyokubariki maadamu ni hai;
Kwa jina lako nitaiinua mikono yangu.